DALILI ZA KUVIMBA KWA TEZI DUME NA TIBA YAKE
Jan 20th, 2022 at 09:46 Beauty & Health Dodoma 97 viewsDALILI ZA KUVIMBA KWA TEZI DUME NA TIBA YAKE BILA UPASUAJI
#TEZI DUME NI NINI DALILI MADHARA NA TIBA YAKE
Tezi dume hii kitaalamu hufahamika kama (PROSTATE GLAND) -
DALILI ZA KUVIMBA KWA TEZI DUME:-
• kubakiza mkojo kwenye kibofu.
• Maumivu wakati wa kukojoa na mkojo usioenda mbali.
• Mawe kwenye kibofu kutokana na mrundikaniko wa mkojo.
• Figo kujaa maji, hii ni kwasabab mkojo huo unarudi nyuma kuelekea kwenye figo.
•Maumivu ya Mara kwa mara ya kiuno kwa nyuma ya mgongo na mapaja.
• Uume kushindwa kusimama vizur.
•Kuwa na wakati mgumu wakati wa kukojoa na kuzuia mkojo.
ATHARI ZA TEZI DUME KAMA HAITAWAHI KUTIBIWA:-
2. Kupatwa na maambukizi ya UTI
3. Kupatwa na vijiwe kwenye kibofu.
4. Uharibifu wa kibofu unaweza kutokea.
Suluhisho la kumaliza hili tatizo lipo: Linaondoka bila Upasuaji
Tumewasaidia wengi na wamepona kwa haraka zaidi kwa kufuata ushauri tulio wap.
#Tezidumeninini #madharayatezidume #Ugonjwawatezidume #tibayatezidume Usisite kuwasiliana nasi