Ijue Tezi dume ,dalili , madhara na Tiba bila Upasuaji
Dec 12th, 2021 at 15:27 Beauty & Health Arusha 123 viewsTEZI DUME NI NINI CHANZO DALILI NA TIBA BILA UPASUAJI (MWANZA,DODOMA,ARUSHA,DAR)
Kuna aina tatu za magonjwa ya tezi dume.
• Maambukizi ya Bakteria (Prostatitis).
• Kukua kwa tezi dume ambalo sio saratani (Benign Prostatic Hypertrophy-BPH).
• Umri, Wanaume wenye umri kuanzia miaka 60 na kuendelea wanapata zaidi saratani ya tezi dume.
• Vyakula vyenye kiasi kikubwa cha mafuta, hasa ya wanyama.
• Historia ya tatizo hili kwenye familia (Genetic)
DALILI ZA SARATANI YA TEZI DUME
• Kusikia kupata haja ndogo mara kwa mara hasa nyakati za usiku
• Haja ndogo kuchelewa kutoka unapoanza kukojoa.
• Kutoa mkojo wenye mtiririko dhaifu na kuchuruzika kidogo kidogo baada ya kumaliza kukojoa.
• Kujikakamua wakati wa kukojoa na kushindwa kumaliza mkojo wote.
• Kutoa mkojo au manii yaliyochanganyika na damu
• Maumivu makali sehemu mbalimbali za mwili kama saratani imesambaa.
• Kupungua uzito, kuhisi kichefuchefu, uchovu na kizunguzungu.
Matibabu ya saratani ya tezi dume yanategemea hatua ya ugonjwa na umri wa mgonjwa.
Aina za tiba hizo ni pamoja na;
• Vichochezi (Homonal therapy)
Kila moja ya matibabu tajwa apo juu ina madhara yake'
Kwa ushauri zaidi na Tiba unaweza kuwasiliana nasi
Ushauri
Virutubisho lishe vime vimechunguzwa na kuonekana vinauwezo wa kuondoa kuvimba kwa tezi bila upasuaji
Unaweza kutafuta Prostate Relax+Refined Yunzhi ni nzuri zaidi
Au wasiliana nasi kuipata
Arusha Dar es salaam Mwanza Dodoma Mbeya Morogoro Iringa na nk