SABABU ZINAZO FANYA UKOSE CHOO NA MADHARA YA KUKOSA CHOO
Jan 5th, 2023 at 09:18 Beauty & Health Arusha 43 views
Location:
Arusha
Price:
1 TSh
Sababu za kukosa choo na choo kigumu
Hapa chini ni sababu zinopelekea upate constipation
2.Vyakula vilivyosindikwa sana,
8.Ukuaji wa bacteria wabaya kwenye mfumo wa chakula:
Bacteria wazuri/normal flora waliopo kwenye mfumo wa chakula tunawaita probiotics husaidia kwenye uchakataji wa chakula.Ndio maana kuna umuhimu wa kula vyakula vyenye kambakamba kwa sababu ni mbolea nzuri kwa bacteria wazuri kukua na kufanya kazi.