TEZI DUME NI NINI DALILI MADHARA NA TIBA YAKE BILA UPASUAJI
Apr 27th, 2022 at 22:24 Beauty & Health Arusha 52 viewsFAHAMU KUHUSU TEZI DUME NA NJIA SAHIHI YA KUEPUKANA NAYO.
VYANZO VINAVYOPELEKEA TEZI DUME KUTANUKA
Vifuatavyo ni vyanzo vya kutanuka kwa tezi dume:
️Ukosefu wa lishe kamili na upungufu wa Virutubisho muhimu mwilini
️Uwepo wa sumu nyingi na mafuta mengi mwilini hasa katika mishipa na ogani za uzazi
️Matumizi ya pombe kali, na uvutaji wa sigara
️Uzito mkubwa (uliopindukia, uliokithiri), na Kitambi
️Kutokukaa sawa kwa vichocheo vya mwili (Hormone Imbalance)
️Upasuwaji wa korodani,matatizo ya kimaumbile
️Historia ya Familia (Kurithi)
️Maumivu ya mifupa hasa chini ya mgongo, kiuno na mbavu
️ kumudu tendo la ndoa, au Kuhisi maumivu makali wakati unamaliza tendo la ndoa
️Kushindwa kuzuia mkojo , pindi unapohisi kukojoa
️Kushindwa kuzuia haja kubwa (kinyesi cha maji maji)
️Tumbo kujaa gesi mara kwa mara MADHARA: Yafuatayo ni madhara ya tezi iliyotanuka: -
️Kibofu cha mkojo kuuma : hivyo hupelekea mkojo kurudi juu, na kuharibu figo na Ini n.k.
- ️Kufunga kwa njia ya mkojo kabisa -
️Figo kushindwa kufanya kazi (Kidney Failure) -
️Kushindwa kumudu tendo la ndoa (Ndoa zinavunjika) -
️Ugumba (Infertility, Frigidity for men) -
️Kutokea kwa majipu sehemu ya Tezi Dume -
#dalilizatezidume #ugonjwawatezidume #ugonjwawatezidume #madharayatezidume #tezidumeninini