UGONJWA WA FANGASI ZA UKENI / SEHEMU ZA SIRI. (Vaginal Thrush)
Aug 20th, 2021 at 11:40 Beauty & Health Arusha 167 views
Location:
Arusha
Price:
37,500 TSh
UGONJWA WA FANGASI ZA UKENI / SEHEMU ZA SIRI. (Vaginal Thrush)
Ndugu Zangu Naomba Nielezee Kuhusu Mwanamke Na Uke,
fangasi Za Ukeni Mara Nyingi Husababishwa Na Fangasi Waitwao Candida Albicans,
️ Matumizi Ya Antibiotics Hizi Huuwa Bacteria Wazuri Na Kubadiri Ph Ya Uke
️.kufanya Mapenzi Na Mtu Aliye Na Ugonjwa Wa Fangasi Za Sehemu Za Siri Bila Kinga
️.kukosa Usingizi Na Msongo Wa Mawazo .
kuna Dalili Nyingi Sana Kama Zifuatavyo;
~️kutokwa Uchafu Mweupe Au Wa Rangi Ya Kijivu Ukeni Wenye Harufu Mbaya
~️kutokwa Na Harufu Mbaya Ukeni
~️kupatwa Na Maumivu Makali Wakati Wa Tendo La Ndoa
~️kuvimba Na Kuwa Mwekundu Katika Mdomo Wa Nje Wa Uke
~️kuwaka Moto Ndani Na Nje Ya Uke