UGONJWA WA KISUKARI DALILI NA TIBA YAKE
Feb 25th, 2022 at 19:28 Beauty & Health Arusha 79 views*FAHAMU UGONJWA WA KISUKARI DALILI MADHARA NA TIBA SAHIHI BILA KUTUMIA MADAWA*
kukojoa kupita kiasi cha kawaida.
️kuona vibaya na matatizo ya macho hadi kuwa Kipofu
Kutumia sukari nyingi pamoja mafuta mengi katika chakula na vinywaji.
VITU VINAVYOWEZA KUSABABI UGONJWA WA KISUKARI (risk factors)
️Unene uliozidi na kiribatumbo.
️Historia ya ugonjwa wa kisukari kwenye familia
️Magonjwa yanayoharibu kongosho
️Akina mama wenye historia ya kisukari wakati wa ujauzito
️Utumiaji uliozidia wa Pombe na uvutaji sigara
️· Kupungua uzito licha ya kula vizuri
️· Njaa kali na ya mara kwa mara
️· Uchovu usioeleweka hata bila kufanya kazi
️· Macho kupungua uwezo wa kuona
️.Kupungua kwa nguvu za kiume kwa wanume
*MADHARA YA TATIZO LA KISUKARI*
️Kupungua nguvu za kiume kwa kiwango kikubwa kwa wanaume*
️Kupata Shida ya INI Kwa Matumizi ya Dawa zenye kemikali Mda mrefu.*
️Figo kushindwa kufanya kazi Vema na kufa kabisa.*
️Kupata Vidonda visivyo pona na Kupoteza baadhi ya Viungo kwa Kukatwa.* *
.* *Kama hujapata huu Ugonjwa ni muhimu kuepuka;-*
1).Unene uliozidi kwa kula lishe nzuri na ya kiasi.
4)Uvutaji wa sigara na la muhimu zaidi ni mazoezi ya viungo .
Tumewasaidia wengi kwa ushauri na na lishe na wamepona kabisa