UJUE UGONJWA WA P.I.D DALILI MADHARA NA TIBA YAKE
Mar 21st, 2022 at 00:59 Beauty & Health Arusha 53 viewsFAHAMU KUUSU P.I.D DALILI MADHARA NA TIBA YAKE
1️⃣Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri, yawezekana ukawa ni mweupe, njano, au maziwa wenye harufu
4️⃣Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
6️⃣Maumivu wakati wa tendo la ndoa
8️⃣Kutokwa majimaji ukeni kupita kiasi
9️⃣Maumivu wakati wa kukojoa na wakati wa choo kubwa
Homa, uchovu,kizunguzungu na kukosa hamu ya kula
•Majeraha kwenye mirija ya uzazi
#PID inatibika na kupona Kwa haraka Kwa ushauri au tiba ya tatizo hili waweza Fika ofisini kwetu #P.I.D
Tunatoa huduma za ushauri kwa maradhi ya mfumo wa uzazi wa mwanamke mana yamekuwa Mengi ukiona unasumbuliwa na matatizo haya usisite kuwasiliana nasi
* Tatizo la kutopata hedhi kwa wakati
* Kutokwa na uchafu na majimaji yenye harufu ukeni .. Wasiliana nasi upate ushauri zaidi